MAOMBI YA UHAMISHO KWA WANAFUNZI WANAOENDELEA.
Tafadhali
soma kwa umakini taarifa na mahitaji muhimu ya kuhama kabla hujaanza kufanya
maombi ya uhamisho.
Tarehe
ya mwisho ya kuomba uhamisho ni 18-11-2023
Masharti
na Sifa kwa Waombaji,
Taarifa
kwa Waombaji:
1. Mwanafunzi anashauriwa kuhakiki na
kufahamu taarifa za msingi za chuo anachotaka kuhamia kama vile, mahali chuo
kilipo, hali ya hewa, ada na michango mingine. Kwa taarifa zaidi awasiliane na
chuo anachotaka kuhamia.
2. Uhamisho unawahusu wanafunzi waliopo
katika mwaka wa masomo 2023/2024 kwa mkupuo wa MACHI na SEPTEMBA ili
kuhakiki kama upo katika mwaka husika bofya Hapa
3. Mwanafunzi ataruhusiwa kuhama chuo
kimoja kwenda kingine chenye kozi inayofanana
4. Mwanafunzi ambaye hajafaulu au kuwa na
mtihani wa marudio hahusiki na uhamisho huu
5. Uhamisho utakubalika pale tu chuo
unachotoka na unachotaka kuhamia vimeridhia
Tarehe
ya mwisho ya kuomba uhamisho ni 18-11-2023
Malipo
Gharama
za mchakato wa uhamisho ni Tsh 10,000/=, Malipo yaliyopokelewa hayatarejeshwa.
APPLY ONLINE TRANSFER APPLICATION
NB: IMPORTANT: Redirection, Ads, Opening New Tabs, On Our Site Just For Website Financial Support Not Phishing.
0 Comments